Sunday 5 May 2013

KWA NINI WANAUME HAWAPENDI KUOA

Na Maalim Luqman Lukas, Mimi Ni Muislam, Facebook

UZINDUZI: Kwa nini dada zetu wengi hupiga kelele kwamba vijana hawa owi miaka hii?

Jibu ni kuwa nyinyi dada zetu ndio sababu kuu ya vijana kuto kuowa, 1-pindi wewe utapo kuwa tayari kumpa mwili wako kabla ya ndowa wategemea kupata nini badae ndowa au?


Nyongeza toka kwa Abdul Pembe:

Mahali pia inachangia wazazi wetu siku hizi wametoka kabisa katika mafundisho ya dini kidunia zaidi wamesahau mafundisho ya Mtume matokeo yake mabint wanashindwa kuolewa.

0 comments