Na Masanja Mkandamizaji
KIPOFU ALIMPIGA MTU MPA AKAMUUA,
AKAPELEKWA MAHAKAMANII...
HAKIMU: "Kwa nini umefanya ukatili namna hii?
KIPOFU: "Mheshimiwa Hakimu, marehemu aliniambia mwenyewe "NIPIGE UONE"
Kwa vile nilikuwa na hamu ya kuona nikampiga kwa nguvu zangu zote, bahati mbaya akafariki.
Ungekuwa wewe ndiyo hakimu ungefanyaje?
0 comments