Thursday, 1 January 2015

ZAWADI YA KUFUNGULIA 2015 KWA WAISLAMU

By    
http://images.astronet.ru/pubd/2008/01/14/0001225606/MoonMercury_zubenel_c800.jpg

waislamu kuto jielewa leo kila mtu anapost na kutumiana msg za hukumu za kusherehekea sikukuu za makafiriri nawakati cc waisalmu ndio wakwanza tunasherehekea hizo sikukuu zao
1- ni taasisi gani ya kislamu wanalipwa mshahara kutumia calender ya hijria?
2-mtoto wako nawewe mwenyewe leo ukiulizwa ni tare ngapi hijria utaskia sijui!!
3- kama umepanga nyumba niambie unalipa kwa kutumia kalenda ipi ya kiisalamu au za makafiri na nikwann?
4-waislamu wengi tunajaua kalenda inapofika rajabu shaaban ramadha na muharram kwanini?
5-shule ngapi za kiislamu ijuma wanasoma kama kawaida na j pili hawasomi ni mapumziko?
huku kote ni kusherehekea kama hamjui sio ikifika leo ndio post zinakua kibaaao huo ni unafiq

0 comments