![]() |
| Bunge la Austria lajiandaa kujadili mswada utakaowanyima waislamu uhuru wa kupokea msaada wa kimataifa |
Sheria hiyo mpya itazuia ufadhili wa kifedha kutoka mataifa ya nje katika ujenzi wa misikiti .
Ufufuaji wa sheria hiyo iliyodumu nchini humo kwa kipindi cha karne moja iliyopita utawaruhusu wakristu na wayahudi kupata ufadhili kutoka mataifa ya kigeni ilahali inawanyima waislamu uhuru wa kupokea msaada kutoka ughaibuni.
![]() |
| Wakristu na wayahudi wataruhusiwa kupokea misaada iwapo sheria hiyo itapitishwa lakini Waislamu na Masheikh hawatoruhusiwa |
Bwana Kurz amesema wazo la kubadilisha sheria hiyo limetokana na mashambulizi yaliyotokea huko Ufaransa na Denmark.
Aidha mapumziko ya siku zao takatifu kutoka kazini bila ya kupewa adhabu na pia kupata muongozo wa kiroho katika taasisi kadha za serikali kama vile magereza na hospitalini.
CHANZO: BBC SWAHILI





0 comments