Thursday 28 January 2016

Unilever yatoa zawadi kwa wanafunzi shule ya msingi Tumaini

By    
 Balozi wa Blue Band Ayubu Athumani akimkabidhi zawadi mwanafunzi wa darasa la sita Joseph Deogratius wa shule ya msingi Tumaini iliyopo Tabata, jijini Dar es Salaam, baada ya kuibuka mshindi katika shindano la Band ‘Kula Tano’, jana. Wapili kulia ni mwalimu wa michezo Naelijwa Shaidi.

0 comments