Tunaandika hili si kwa kumuingilia mtu katika maisha yake ila
tunaandika hili kwa kupeana kidogo taaluma na kukumbushana madhara ya
mambo tunayoyafanya.
Tunazungumzia MKOROGO,kusema kweli dada zetu hampendezi,kuba
li
ulivyoumbwa kama umeumbwa mweusi kuna sababu kwanini ukaumbwa rangi
hiyo,shukuru kwa rangi uliyoipata,na wengi wenu mmeona baada ya muda wa
kutumia mkorogo vijiso vyenu vinaharibika kwa madoa na mabaka meusi,hapa
ndio unajua kuwa uzuri umekutumbukia nyongo uso mweupe pamoja na mabaka
meusi na miguu myeusi,sura mpya miguu ya zamani,wacheni jambo
hili,wanaume hawavutiwi na jambo hili,kuna baadhi ya hata wanaume na wao
wameingia kwenye majanga haya,hili ni wazo tu tumeona tuandike
kidogo.Wengi wamepata cancer na magonjwa mengi ya ngozi ni bora na wewe
uwache
KAMA HII HABARI UNAHISI IMEKUKERA BAADA YA KUISOMA BASI UJUE UNATUMIA MKOROGO
0 comments