Abou Anwaar Yahya Ahmad
Assalaam
alaykum warahmatullah wabarakatuh.. ndugu zangu ktk imani kwa wale
ambao wanahitaji kusoma degree ktk kozi wanazozitaka kati ya
Medicene,Pure and applied science,Pharmac y,Engeneering,E conomics,Educat ion,Arts,Comput er studies,Nursing ,Medical labolatory,Law and Sharia pamoja na Dirasaat islaamiyyah.... nafasi ziko wazi nchini Sudan..
chuo: International University of Africa
Qualification: Form four certificate with 7 pass na usiwe na F katika hesabu na kingereza.
kujiunga: Wasiliana na ust. Khamis lienike kwa namba zifuatazo 0652806662 / 0786806662
muda wa kichukua fomu za kujiunga ni kuanzia kesho tarehe 29/03/2014.. unashauriwa kuwasiliana leo na ust. khamis kwa utaratibu zaidi.. bei ya fomu utaambiwa na ust.lienike.
NB. ukipata nafasi ya kuja sudan utasoma buree wala hutodaiwa ada.. Allah awafanyie wepesi ktk kuomba nafasi hizo hapo juu.. pia omba kulingana na masomo uliyofanya ambayo yapo ktk cheti chako.
chuo: International University of Africa
Qualification: Form four certificate with 7 pass na usiwe na F katika hesabu na kingereza.
kujiunga: Wasiliana na ust. Khamis lienike kwa namba zifuatazo 0652806662 / 0786806662
muda wa kichukua fomu za kujiunga ni kuanzia kesho tarehe 29/03/2014.. unashauriwa kuwasiliana leo na ust. khamis kwa utaratibu zaidi.. bei ya fomu utaambiwa na ust.lienike.
NB. ukipata nafasi ya kuja sudan utasoma buree wala hutodaiwa ada.. Allah awafanyie wepesi ktk kuomba nafasi hizo hapo juu.. pia omba kulingana na masomo uliyofanya ambayo yapo ktk cheti chako.



0 comments