![]() |
| Jan Eliasson |
Mark alisema hayo huko Abuja baada ya kukutana na naibu katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa Jan Eliasson, ambaye yuko ziarani nchini Nigeria.
Mark amesema, Nigeria inahitaji uungaji mkono na msaada kutoka kwa Umoja wa Mataifa ili kukabiliana na changamoto ya usalama.
Aidha, Mark aliongeza kusema Nigeria itaendelea kufanya kazi muhimu katika mambo ya kimataifa na ya kikanda, kwani nchi hiyo ina rekodi nzuri katika operesheni ya kulinda amani.
CHANZO: AHBAAUR RASUUL




0 comments