Msuni akingoja kukabithiwa cheti |
Msuni aliyasema hayo jana katika mahafali ya kwanza ya chuo cha uhandisi na teknologia cha Al-Maktoum pale alipohojiwa na kituo cha utangaza cha Taifa TBC1, mara baada ya kumalizika kwa mahafali hayo.
Msuni alisema kuwa kufeli katika mtihani wa kidato cha nne si mwisho wa kujiendeleza kielimu kwani unaweza kufikia malengo yao ya kupata shahahda yako kwa kuanza na kozi ya veta kisha cheti, stashahada na kufikia pale ulipo palenga.
Kauli ya Msuni ilikuwa inajazia maneno yaliyo semwa na mkuu wa chuo hicho Dr. Hamdun Ibrahim Sulayman alipozungumzia kwanini walifikia uwamuzi wa kuanzisha kozi za veta chuoni hapo.
Dr. Hamduni katika risala yake alisema kuwa uwepo wa kozi yav veta chuoni hapo ni nafasi nyingine kwa mwanafunzi waliofeli kidato cha nne katika kujiendeleza kielimu.
Dr. Hamdun aliwataka wazazi kuwapa nafasi nyingine wanafunzi wanaofanya vibaya katika mitihani yao ya kidato cha nne.
Msuni akiwa na mwalimu wake Ramadhan |
Msuni sambamba na Mke wake mara baada ya mahafali kumalizika |
Msuni akilishwa keki na muhitimu mwenzake katika fani ya Information Technology, Halima |
Msuni akiwa sambamba na Habib Khamis (Alipta kuwa mshirika wa Msuni katika kitengo cha Msuni Computer solution)pamoja na mke wa Msuni |
Picha ya pamoja, Msuni akiwa kachuchuma mbele ya mgni rasmi, Mheshimiwa Shukuru Kawambwa |
0 comments