
Magaidi walishambulia maeneo mbalimbali ya Paris na kuua watu 129.
Hali hiyo ilizua hofu katika maeneo mbalimbali ya Paris na Ufaransa yote, pia nchi jirani.
Lakini shambulio hilo lilisababisha hofu hadi katika michezo kutokana na washambuliaji watatu kujiripua nje ya Uwanja wa soka wakati Ufaransa ikicheza na Ujerumani, mechi ya kirafiki.

0 comments