Katibu Tawala wa wilaya ya Muheza 
(Das) akizungumza katika mkutano huo kabla ya kumkaribisha Mkuu wa 
wilaya hiyo,Hajat,Mhandisi Mwanasha Tumbo aliyekaa kushoto na anayefuata
 ni Mwenyekiti wa Waendesha Boda Boda wilayani Muheza
 Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri 
ya wilaya ya Muheza ambaye pia ni Afisa Biashara wa wilaya hiyo,Ally 
Mokiwa akielezea namna walivyojipanga kuhakikisha waendesha bodaboda hao
 wanakata leseni za kuendesha shughuli zao katikati ni Mkuu wa wilaya ya
 Muheza,Hajat Mhandisi Mwanasha Tumbo
Katibu wa Chama cha Waendesha Boda
 Boda wilayani Muheza,Francis Gerald akizungumza katika mkutano huo 
kuhusu changamoto ambazo zinawakabili
Baadhi ya waendesha bodaboda 
wilayani Muheza wakimsikiliza Mkuu wa wilaya ya Muheza,Hajat Mhandisi 
Mwanasha Tumbo alipokuwa akizungumza nao kusisitiza umuhimu wa wao kutii
 sheria za usalama barabarani ikiwemo kuacha kufanya vitendo vya uhalifu
Habari kwa Hisani ya Blog ya Kijamii ya Tanga Raha
 



 
 
 
 
0 comments