Sunday 8 October 2017

MUFTI AWATAKA MAKATIBU KUFANYA SENSA

By    
Sheikh Mkuu wa Tanzania Mufti Abubakar Zubeir amewaagiza makatibu wa mabaraza ya BAKWATA katika ngazi ya mikoa kufanya sensa ya kubaini waislamu waliopo katika mikoa yao.

Mufti amesema kupitia sensa hiyo BAKWATA itaweza kupanga vyema mipango yake ya maendeleo pindi idadi halisi ya waislamu itakapojulikana.

Chanzo : ukurasa wafacebook wa ITV

0 comments