Demu na Buzi lake maongezi yalikuwa hivi:-
BUZI: mpenzi wangu tangu nimekununulia nyumba na gari naona mapenzi yamepungua kabisa!
DEMU:kwann mpenzi
BUZI: siku hizi huniambii asante kwa chochote tofauti na zamani
DEMU: asante nisimpe mganga nikupe wewe! na ubahili uliokua nao bila ya kukuroga ungenipa lini nyumba na gari?
BUZI: na mimi nisingekuhonga vitu vyote hivi ningekuambukiza UKIMWI saa ngapi?
Demu hoi,
unadhani nani mkali kati yao? Jibu kaa nalo
BUZI: mpenzi wangu tangu nimekununulia nyumba na gari naona mapenzi yamepungua kabisa!
DEMU:kwann mpenzi
BUZI: siku hizi huniambii asante kwa chochote tofauti na zamani
DEMU: asante nisimpe mganga nikupe wewe! na ubahili uliokua nao bila ya kukuroga ungenipa lini nyumba na gari?
BUZI: na mimi nisingekuhonga vitu vyote hivi ningekuambukiza UKIMWI saa ngapi?
Demu hoi,
unadhani nani mkali kati yao? Jibu kaa nalo
0 comments