Nassor Binslum
Ama
kwa hakika Wanaadam tumo katika hasara kubwa. Isipokua kwa wale wamchao
ALLAH.Nabii Musa alimuomba ALLAH Yaumul Qiama asituchome ktk
Jahannam.ALLAH akamwambia NABII MUSSA lima shamba kwanza.Nabii MUSSA
akalima,akapand a, akavuna.Mbegu nzuri akahizifadhi,na
magugu akayachoma moto.ALLAH akamuuliza umefanya nini?Nabii MUSSA
akasema nimehifadhi mbegu nzuri ndani,na magugu hayana faida nimeyachoma
moto.ALLAH akamwambia halikadhalika na mimi siku ya qiama wanaadam
wasiokuwa na faida kwangu NITAWACHOMA MOTO."SUB'HANAL LAH"Mimi na wewe mbele ya ALLAH, NI MBEGU NZURI AU MAGUGU? HUJACHELEWA MCHE ALLAH.
JUMAA KAREEM
JUMAA KAREEM
0 comments