Sunday, 12 July 2015

RASMI MAGUFULI KUPEPERUSHA BENDERA YA CCM

By    

Dk. John Pombe Magufuli ametangazwa kuwa mgombea wa urais wa mwaka 2015 kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) akiwamwaga Amina Ally na Asha-Rose Migiro.

Matokeo yaliyo tangazwa na Spika wa Bunge Ana Makinda, Magufuli ameshinda kwa asilimia 87.1, wakati Amina akipata asilimia 10.5 na Asha-rose akifanikiwa kupata asilimia 2.4.


0 comments