Friday, 21 November 2014

MAHAFALI YA KWANZA AMCET KESHO, KAWAMBWA MGENI RASMI


https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhuW-aT_36tM7vk0RuRMOlWPFTXstjkW5KniHLQ2sEVoxeH8eeQhWsGMASsv5XUu3zy6I71jfp3suPILKfaYApNlo8ngq-wshyphenhypheny3M-MDnLIjkn9EB8dqpwFCbAdnDxY3lkOX-QxTC3GI96O/s320/AMCET.jpg

Al-maktoum College of Engineering and Technology (AMCET) kinatarajia kufanya mahafali yake ya kwanza hapo kesho november 22 mwaka huu kwa wahitimu wake wa ngazi ya diploma na cheti.

Mgeni rasimi katika mahafali hayo ya kwanza ya AMCET yatakayo fanyika chuoni AMCET anatarajiwa kuwa waziri wa elimu, mheshimiwa Shukuru Kawambwa.

AMCET kimetoa toleo la kwanza kwa wanafunzi wa diploma mwaka huu, huku kwa ngazi ya cheti wametoa matoleo manne na wanataraji mwaka 2017 kutoa toleo la kwanza kwa ngazi ya bachelor degree.
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgKqXH6QN82ICz1WZdbYv5Qt9dUkvbDXEU2f96osRrSxmzqXC1Vu6twvFuzBsGCdO7MMlyeZqwUsp21r4ovMr0M4Pf_0zLN_IFuaCPUGnGvWgpybNC8Nb5JZOaNAmzmvbXY2ZYIQbtFYTNz/s1600/Kawambwa2.jpg
Mgeni rasmi wa mahafali ya kwanza ya AMCET


https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgF1O7-1F6ggWSGKRWmaaVurAHfnvEmH-8sMGR7qxild7sabVKStO4JDFydlk7rowNndJ6IVo2SUZ9RGG5oS6mq29wTxKHWgrDSGLbV3zJXnkTVS25LKr4wOcYiXqOHj4xAaF8RXGp2BHg/s1600/TM4.JPG
Toleo la kwanza kwa ngazi ya diploma wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kucheza mechi ya kuagana ikiwa ni kabla ya mtihani ya mwisho


Katika mahafali hayo ya kwanza wanafunzi wote waliohitimu kwa awamu nne ngazi ya cheti watakabithiwa vyeti vyao sambamba na toleo la kwanza la diploma hiyo kesho.
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgaM2rkGxODYC0yTwfa8xKSFi8oVSvbBOzd45pQw1lCv6KWkOh2sECOUgbzqVwDUmzhtpfObnUooVS9i4bM-6sZMBFhNZv52wtHeVzd0HBKTDp2L6iKMOMY7fsURbycn9u0rzRJ6yBWd5c/s1600/IMG0486A.jpg
MSUNI NAE NI MIONGONI MWA WATAKAO POKEA CHETI CHA DIPLOMA HAPO KESHO

0 comments