Wednesday, 8 January 2014

LIBYA, KUTUMIA SHARI ZA KIISLAM KTK MFUMO WAKIUCHUMI NA KIBANKI

Waziri wa uchumi wa Libya Mustafa Abufanas amesema kuwa hivi sasa wataalamu wa uchumi wa Nchi yake wanafanya mchakato wakubadilisha mfumo mzima wa uchumi na kibank kwakuzingatia sharia za kiislam. Waziri huyo ameendelea kusema hivi sasa dunia imeanza kufanya mabadiliko kidokidogo ya kuelekea ktk kuzitumia sharia za kiislam kwenye masuala ya uchumi na kibank. Hii nikutokana na ukweli kuwa sharia za kiislam ndio suluhisho ktk masuala ya uchumi na miamala ya kibank. ikubukwe kuwa nchi ya Libya imeshapiga hatua kubwa ktk kupasisha sharia za kiislam kuwa ndio sharia mama za nchi hiyo.

0 comments