Sunday, 8 December 2013

KAMA NILIVYOKUTANA NAYO KATIKA FB: MANDELA vs MAN UNITED

Allen S Kaijage > Wapenda SOKA (Kandanda)

Mandela alikaa jela miaka 26
Man u alikaa miaka 26 bila kombe la ligi

Mwaka 1990 Mandela anakua huru
Mwaka huo huo man akachukua fa cup na hilo lilikua kombe lake la kwanza tangu mwaka 1968

Mwaka 1992 Mandela akawa rais Wa kwanza kuchaguliwa kidemokrasia SA

Man united akachukua kombe la ligi baada ya miaka 26(miaka sawa na ile ya Mandela alokaa jela)

Mwaka 2012/13
Kocha Wa man united sir Alex akastaafu baada ya misimu 26 ya mafanikio (miaka sawa na ile ya Mandela alokaa jela)

Msimu 13/14
Hali ya Mandela ikawa tete hatimaye kufariki

Msimu huohuo hali ya utd ikawa Mbaya na inaelekea kufa

RIP MANDELA
RIP MAN UNITED

0 comments